Tuesday, August 23, 2011

acheni wadogo waje kwangu kwa maana ufalme wa mbinguni ni wao

watoto kama hawa Yesu aliwapenda kwa kuwapa nafasi ya upendeleo katika ufalme wa mbinguni,tuwalee kama Yesu alivyowalea na kuwakumbatia ili wawe na maisha yenye kumcha Bwana Yesu

No comments:

Post a Comment